Mnamo mida ya jioni jijini dar es salaam yatokea ajari maeneo ya kimara stop over baada ya magari mawili kugongana USO kwa USO.
Magari hayo ni SAFARI CITY iendayo dodoma pamoja na gari kubwa la kubebea mizigo aina ya SCANIA ikiwa inatokea Dar. Na hatimaye kuwaka moto papo hapo na kuuwa idadi kubwa ya watu.
Kwa taarifa zaidi utazipata hapa hapa kwenye blog yetu ya habari mchanganyiko na betallen
No comments:
Post a Comment