Prado na T 539 DHL ikielekea Ifakara Leo SAA 7 mchana imegonga Train ya Udzungwa iliyokuwa inaelekea Kidatu/Kilombero na kupitia tukio hilo Watu wawili waliokuwa kwenye Prado wamefariki papo hapo.Yeyote anayeijua gari hiyo namjuza afike Ifakara St Francis Hosp kwa hatua zaidi.


No comments:
Post a Comment